Kocha wa timu ya Nakuru All Stars Peter Okidi amewalaumu wachezaji wa Ulinzi kwa kutumia mbinu chafu kutafuta magoli .
Akizungumza baada ya mchuano baina ya timu yake na ile ya Ulinzi, Okidi amesema kuwa wachezaji wa Ulinzi walikuwa na nia ya kumjeruhi mlinda lango wake.
Akiongea baada ya mchuano Okidi alisema “Crosses mbili tatu wameingia na intention ya kumjeruhi goalkeeper, ukiangalia wamemknock karibu mara tatu, sos that was their game plan, that's not football.”
Hata hivo kocha wa Ulinzi stars Robert Matano ametaja matamshi ya Okidi kama ya kitoto, “In football like mature coach you don't talk nonsense...”Robert Matano.
Kwenye mchuano huo uliochezewa katika uwanja wa Afraha mjini Nakuru siku ya Jumapilia Ulinzi stars iliicharaza Nakuru All Stars magoli 3-1
Recent Posts
Logo
About
sidebar_mainads
Search This Blog
Home
Sports
Kocha wa Nakuru Top Fry awalaumu wachezaji wa Ulinzi kwa kutumia mbinu chafu [Kiswahili]
Kocha wa Nakuru Top Fry awalaumu wachezaji wa Ulinzi kwa kutumia mbinu chafu [Kiswahili]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Follow us on facebook
Side Ad
Popular Posts
-
Would you like to earn for life even after you stop working? The power to change your earning power tomorrow is in your hands now. When oth...
-
Would you like to earn for life even after you stop working? The power to change your earning power tomorrow is in your hands now. When oth...
-
FKF has written a letter to AFC Leopards asking its management to release James Situma and Bernard Mango'i who are held by t...
Blog Archive
-
▼
2015
(278)
-
▼
April
(36)
- Eldoret 10s dates confirmed
- HOW PHOTOGRAPHY CAN MAKE A SERIES OF YOUR LIFE MOM...
- IS THIS HOW YOU ARE DECEIVING YOURSELF?
- KIDIABA by MBUVI is now officially OUT
- 3 Weird but True Facts to Consider this Cold Season.
- Kisumu Disapproves Non believers. This is how they...
- Kenya to Host Somalia, Rwanda Tie
- Is this What Kidero Needs to end Traffic Jams in t...
- ODM wants explanation on the Garissa attack
- Rwanda, Tanzania confirmed as CECAFA hosts
- 'Lover' singer Bahati becomes dad at 20
- Kocha wa Nakuru Top Fry awalaumu wachezaji wa Ulin...
- You Say You Love Mutura? Watch This video and you ...
- DID YOU KNOW..? This 5 facts will Put a Smile on y...
- DONT LISTEN TO WHAT PEOPLE SAY ABOUT YOU AND INSTE...
- Bahati Responds to Willy Paul after he Released th...
- Mapenzi by Willy Paul... The Song Said to have bee...
- Willy Paul Releases The Video #Mapenzi that He All...
- KPL Review: Derby ends in draw, as Sofapaka bounce...
- THIS IS WHAT STICKING TO YOUR PAST WILL DO TO YOU
- Meet this Doctor in Mombasa who Ranks her Husband ...
- Lover By Bahati. The song sparking Controversy in ...
- DON'T BLEED TO BE LEAD; How others Lie to you to r...
- FIFA Rankings: Kenya is up by a single position
- WILLY PAUL RESPONDS TO BAHATI ALLEGATIONS WITH THI...
- WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT INNOVATION
- IS THIS A BEEF ALERT!!?? READ BAHATI'S LETTER TO W...
- Garissa Nurses on seven day leave, Panyako
- CHAN 2016: Kenya to face Ethiopia in qualifiers
- Turn Garissa University to Police training camp, K...
- Govt places Sh20m bounty on terror suspect
- FOR THE VICTIMS OF GARISA ATTACK
- Some MCAs defend governor Mutua on corruption alle...
- UoN students demand for HELB loans in a day
- The Hidden Truth behind the Delay and God's Silenc...
- Is What you Want still delaying? This is the Secre...
-
▼
April
(36)
No comments:
Post a Comment